Popular posts from this blog
HEALTH BABY
This is my friends baby yani Ethan the way anavyompenda huyu mtoto hadi nashangaaga Usimuone hivi katulia he is very mkorofi akiianza hapakaliki.. Super health baby...love hayo mashavu Oya mnanipiga piga picha za nini??? Embu nikunje ngumi nilale mie.. Mnanionea kwasababu siwezi kushika eehh?? Ndege ileeeeeeeeee inapita juu Ntalia sasaivi Sweety baby..OMG Tabasamu langu poziiiii Na hapo je???? next time tena watanipiga picha ntakuwa nishakuwa kidogo
PARENTS TUWE MAKINI
look at this water jamani???? watoto wetu wanapenda sana kuchezea maji yaani huwaga natamani kukapiga ka Ethan maana kakiona maji hakabanduki, ila hii style ya watoto kuchezea maji machafu especial mvua ikinyesha..... yaani ukipita maeneo ya uswazi ketu unakuta watoto wako bize na kuchezea maji machafu mimi binafsi huwa nawafukuza nawaambia nendeni nyumbani sema ndo mitoto mingine mibishi wala hawakusikii kabisa ndo kwanzaaaa yuko bize wazazi tuwe makini sana na watoto wetu maana humu kwenye haya maji kuna magonjwa kibao unashangaa mtoto anaumwa we hujui anaumwa nini kumbe ni maji machafu alokuwa anachezea.
AMETISHAAA
ReplyDelete