look at this water jamani???? watoto wetu wanapenda sana kuchezea maji yaani huwaga natamani kukapiga ka Ethan maana kakiona maji hakabanduki, ila hii style ya watoto kuchezea maji machafu especial mvua ikinyesha..... yaani ukipita maeneo ya uswazi ketu unakuta watoto wako bize na kuchezea maji machafu mimi binafsi huwa nawafukuza nawaambia nendeni nyumbani sema ndo mitoto mingine mibishi wala hawakusikii kabisa ndo kwanzaaaa yuko bize wazazi tuwe makini sana na watoto wetu maana humu kwenye haya maji kuna magonjwa kibao unashangaa mtoto anaumwa we hujui anaumwa nini kumbe ni maji machafu alokuwa anachezea.
Thanyuuuu mama Ethan for the pic,u r awesome.
ReplyDeleteWe acha tu me mwenyewe macho yalinitoka,3 mthn! sitting down? doc akadai ni imani tu,once shingo ikikomaa hamna problem yoyote kumkalisha chini,nikamwambia kwetu watakusema na kukushan'gaa,unamharibu mtt akacheka sana akadai scientifficaly is not applicable ni imani tu,si wenyewe bado tunaogopa kumkalisha.
hata sijui ni ukweli au vipi